vitu vya kichawi
Wakuu wa Wilaya za Buhigwe na Kigoma wameagiza kukamatwa mara moja watu wote wanaojihusisha na Ramli Chonganishi maarufu kama Kamchape au Rambaramba, Wanaodaiwa Kupiga Ramli za chonganishi kwenye jamii. Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel Anaripoti zaidi.
Ripoti ya Kadislaus Ezekiel
 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *