shule
Shule za Msingi Wilayani Kibondo, zimeomba Serikali, Mashirika ya Kuhudumia Wakimbizi pamoja na Wadau wa Elimu, Kusaidia ufanisi wa mazingira rafiki ya Ufundishaji na Ujifunzaji. Kutoka Wilayani Kibondo Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel  Anaripoti.
 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *