Watumishi wa umma ni nguzo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote, kwani wao ndio wanaosimamia utoaji wa huduma kwa wananchi na ni muhimu kwa mamlaka husika kuhakikisha kuwa changamoto zinazowakabili zinatatuliwa kwa wakati ili kuongeza ufanisi kazini Sadick Kibwana Watumishi wa Umma katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwasilisha changamoto zinazowakabili…