
LIVERPOOL imeteka nyara usajili wa Manchester United kwa Cody Gakpo licha ya Mshambulizi huyo wa PSV Eindhoven kutarajiwa kusafiri kwenda Uingereza kwa uchunguzi wa kimatibabu “mara moja” baada ya Reds kukubaliana kwa pauni milioni 37.
90.5fm Kigoma, Tanzania
LIVERPOOL imeteka nyara usajili wa Manchester United kwa Cody Gakpo licha ya Mshambulizi huyo wa PSV Eindhoven kutarajiwa kusafiri kwenda Uingereza kwa uchunguzi wa kimatibabu “mara moja” baada ya Reds kukubaliana kwa pauni milioni 37.