Mpango

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Mungano  wa  Tanzania Dkt.  Philip  Mpango  ameziagiza halmashauri zote  nchini  kurahakisha   mchakato wa  upatikanaji fedha  za maendeleo  ya  vijana,  wanawake   na watu wenye ulemavu  kwa lengo la kuchochea uchumi kwa jamii na taifa.

Kadislaus Ezekiel anaripoti zaidi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *