Afya ni msingi muhimu katika maisha ya mwanadamu na jamii yenye watu wenye afya bora huwa na maendeleo mazuri kiuchumi, kijamii na kielimu Na Timotheo Leonard Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, Nuru Issa Kashakari, amewashukuru wananchi wa Kijiji cha Kazuramimba, Kata ya Kazuramimba, kwa kumuamini na kumchagua kuwa mbunge wao huku akiahidi kuendelea kusimamia utekelezaji wa miradi…