Maendeleo ya jamii yoyote hutegemea uwepo wa miradi mbalimbali kama vile barabara, shule, hospitali, miradi ya maji na umeme na miradi hii huhitaji usimamizi mzuri ili iweze kutekelezwa kwa ufanisi na kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Mwandishi wetu Wajumbe wa kamati ya Usalama Mkoa wakiambatana na wajumbe wa Sekretarieti ya Mkoa wa Kigoma wamefanya ziara ya Kutembelea na kukagua…