
Majeruhi ya muda mrefu ya kiungo mkabaji, Gerson Fraga huenda yakaifanya klabu ya Simba Sc kumsajili kiungo wa timu ya Taifa ya Uganda, Tadeo Lwanga ili kuziba pengo la Mbrazil huyo atakayekaa nje ya uwanja hadi mwisho wa msimu huu 2020 hadi 2021
90.5fm Kigoma, Tanzania
Majeruhi ya muda mrefu ya kiungo mkabaji, Gerson Fraga huenda yakaifanya klabu ya Simba Sc kumsajili kiungo wa timu ya Taifa ya Uganda, Tadeo Lwanga ili kuziba pengo la Mbrazil huyo atakayekaa nje ya uwanja hadi mwisho wa msimu huu 2020 hadi 2021