
MANCHESTER UNITED wanaamini watampata Harry Kane msimu huu wa joto – ikiwa Tottenham itamaliza nje ya nne bora. Wakuu wa Old Trafford wanadhani Spurs kukosa nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa itawafanya wapunguze bei yao ya pauni milioni 100.
90.5fm Kigoma, Tanzania
MANCHESTER UNITED wanaamini watampata Harry Kane msimu huu wa joto – ikiwa Tottenham itamaliza nje ya nne bora. Wakuu wa Old Trafford wanadhani Spurs kukosa nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa itawafanya wapunguze bei yao ya pauni milioni 100.