
Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, atapewa ofa ya euro milioni 220 (£193m) kwa mwaka ili kuhamia klabu ya Saudi Arabia mkataba wake wa Paris St-Germain utakapokamilika msimu wa joto. (Marca kwa Kihispania)
90.5fm Kigoma, Tanzania
Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, atapewa ofa ya euro milioni 220 (£193m) kwa mwaka ili kuhamia klabu ya Saudi Arabia mkataba wake wa Paris St-Germain utakapokamilika msimu wa joto. (Marca kwa Kihispania)