

Jumla ya wajumbe zaidi ya 40 kutoka katika vijiji mbali mbali wilayani Buhigwe wameshiriki mafunzo maalumu lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapewa elimu juu ya jinsi ya kuibua vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika maeneo yao.
90.5fm Kigoma, Tanzania
Jumla ya wajumbe zaidi ya 40 kutoka katika vijiji mbali mbali wilayani Buhigwe wameshiriki mafunzo maalumu lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapewa elimu juu ya jinsi ya kuibua vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika maeneo yao.