IMG-20240423-WA0063
Baadhi ya wajumbe wakipatiwa mafunzo kuhusu namna ya kuripoti vitendo vya ukatili katika maeneo yao. Picha na Emmanuel Kamangu

Jumla ya wajumbe zaidi ya 40 kutoka katika vijiji mbali mbali wilayani Buhigwe wameshiriki mafunzo maalumu lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapewa elimu juu ya jinsi ya kuibua vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika maeneo yao.

Ripoti yake Emmanuel Kamangu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *