May 28, 2026
Ukatili wa kiuchumi kikwazo wanawake kufikia ndoto zao Kigoma

Ukatili wa kiuchumi ni aina ya ukandamizaji ambapo mtu mmoja humzuia mwingine kupata, kutumia au kumiliki rasilimali za fedha na mali au kutoshirikishwa katika maamzi ya kiuchumi kwa familia. Mara nyingi wanawake na wasichana hukumbwa na ukatili huu katika familia, jamii na hata sehemu za kazi, ukatili wa kiuchumi unaweza kujitokeza kwa njia mbalimbali kama kunyimwa haki ya kufanya kazi…

Source

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *