Tamasha la Urithi wa Kihistoria na Utamaduni la Mji Mkongwe wa Ujiji lina umuhimu mkubwa katika kuhifadhi na kuendeleza historia, tamaduni na maadili ya jamii Na Lucas Hoha Tamasha la urithi wa kihistoria na utamaduni katika mji mkongwe wa Ujiji linatarajia kufanyika kuanzia tatehe 20 hadi 21 katika Manispaa ya Kigoma Ujiji likilenga kuwafindisha vijana kuwa na madili mema na kutangaza…