
Mgombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki Eva Kaaya kupitia NCCR Mageuzi, amezindua kampeni zake ambapo miongoni mwa mambo amabayo ameahidi kuyafanyia kazi endapo atachaguliwa ni kuwezesha upatikanaji wa mabweni ya shule katika kila kata
90.5fm Kigoma, Tanzania
Mgombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki Eva Kaaya kupitia NCCR Mageuzi, amezindua kampeni zake ambapo miongoni mwa mambo amabayo ameahidi kuyafanyia kazi endapo atachaguliwa ni kuwezesha upatikanaji wa mabweni ya shule katika kila kata