Mfumo wa NEST ni mfumo wa kielektroniki unaotumiwa na serikali kusimamia zabuni mbalimbali za umma na kupitia mfumo huu, wajasiriamali wanaweza kuona matangazo ya zabuni, kutuma maombi na kufuatilia taarifa mbalimbali zinazohusu manunuzi ya serikali kwa njia ya mtandao NEST Tanzania Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua amevihimiza vikundi vya wajasiriamali…