
Timu ya @kasuluunited_fc imetinga nusu fainali mabingwa wa mikoa, Hii ni baada ya kuwatandika bao 1 kwa nunge timu ya City Gold Fc ya Mbeya.Wakiwa katika kundi B timu ya kasulu United imehitimisha michezo yake ikiwa katika nafasi ya pili.
90.5fm Kigoma, Tanzania
Timu ya @kasuluunited_fc imetinga nusu fainali mabingwa wa mikoa, Hii ni baada ya kuwatandika bao 1 kwa nunge timu ya City Gold Fc ya Mbeya.Wakiwa katika kundi B timu ya kasulu United imehitimisha michezo yake ikiwa katika nafasi ya pili.