Ziara ya Waziri Nyansaho Mkoani Kigoma inalenga kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye umuhimu wa kimkakati, huku ikisisitiza umuhimu wa usalama, miundombinu na ustawi wa wananchi Na Mwandishi wetu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Rhimo Nyansaho amesema ujenzi wa kituo cha pamoja cha Forodha kilichopo Manyovu wilayani Buhigwe Mkoani hapa…