Serikali imeendelea kuboresha na kupanua mtandao wa barabara Mkoani Kigoma kwa lengo la kuhakikisha suala la usafiri na usafirishaji linaimarishwa Na Mwandishi wetu Wananchi wa Wilaya ya Kakonko wanatarajia kunufaika na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kuelekea Makao Makuu ya Serikali baada ya Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, kuahidi utekelezaji wa mradi huo wakati wa ziara…