Watumishi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji KUWASA wametakiwa kuharakisha zoezi la kubaini, kuondoa na kudhibiti miundombinu ya zamani inayopitisha maji katika maeneo mbalimbali ya wananchi Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma (KUWASA), Dkt. Christopher Nditi, amefanya kikao na Idara ya Ufundi na…