September 20, 2026

Usafi wa mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu na mazingira safi humsaidia mtu kuishi katika hali nzuri na humkinga dhidi ya magonjwa mbalimbali Na Lucas Hoha Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashird Chuachua amewaagiza Watendaji wa kata zilizopo Manispaa ya Kigoma Ujij kuwatoza faini wananchi wanaochafua Mazingira kwa kutupa taka ovyo ili kuhakikisha Manispaa ya Kigoma Ujiji…

Source

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *