Ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote kinachosababisha madhara ya kimwili, kingono, kisaikolojia au kiuchumi kwa mtu kutokana na jinsia yake na suluhu za kifamilia ni jitihada zinazofanywa na wanafamilia, wazee wa ukoo au viongozi wa jamii kutatua migogoro bila kutumia mfumo rasmi wa sheria. Na Mwandishi wetu Ili kuhakikisha manusura wanapata haki ni muhimu kuelimisha jamii kuhusu…