August 12, 2026

Watoto wa kikie wanatakiwa kuwekewa mazingira weshezeji kwa ajili kusoma na kutimiza ndoto zao. Na Hagai Ruyagila Taasisi ya Shukrani Foundation imetoa vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi milioni 3 kwa wasichana 50 wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya mji Kasulu Mkoani kigoma kwa lengo la kuwahamasisha kuhudhuria masomo shuleni. “Nguvu ya Binti ipo…

Source

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *