Mradi huu umeacha urithi wa miundombinu na huduma muhimu ambazo zikiendelea kusimamiwa vizuri na Serikali pamoja na wananchi, zitaendelea kunufaisha jamii kwa miaka mingi ijayo Na Mwandishi wetu Shirika la World vision Tanzania kwa ufadhili wa shirika la World Vision Marekani limekabidhi kwa Serikali mradi wa maendeleo wa Buhoma ambao umetekelezwa kwa kipindi cha miaka 15 katika tarafa…