Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Sirro ameutaka uongozi katika Halmashauri za Mkoa kutosita kuwachukulia hatua watendaji wanaosababisha hoja sambamba na wakusanya mapato wasio waadilifu wanaosababisha upotevu wa fedha za makusanyo Na Mwandishi wetu Kwa mujibu wa Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Halmashauri za Wilaya Buhigwe, Kasulu na Mji Kasulu zimefanikiwa…