Biashara ni nguzo muhimu ya maendeleo ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla Na Sadick Kibwana Wafanyabiashara wanawake Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia kikamilifu teknolojia, kurasimisha biashara zao na kuzitumia fursa za kiuchumi zinazowazunguka ili kuongeza tija na kuchangia katika maendeleo ya jamii. Wito huo umetolewa katika mdahalo uliowakutanisha wadau wa sekta ya…