Asilimia 30 inalenga kuhakikisha makundi hayo hayabaki watazamaji katika matumizi ya fedha za Serikali, bali yanashiriki moja kwa moja kama wazabuni na watoa huduma Na Emmanuel Kamangu Taasisi za ununuzi za Serikali katika Kanda ya Magharibi zimetakiwa kuhakikisha zinazingatia matakwa ya kisheria kwa kutoa fursa kwa makundi maalumu kunufaika na zabuni zinazotekelezwa katika maeneo…