Wananchi wa Kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wamesema kuwa hatua za mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini kujitoa kwa ajili ya wananchi wake kutokana na namna ambavyo ameendelea kuwasaidia watu wenye mahitaji mbalimbali Na Orida Sayon Mbunge wa jimbo la Kigoma Kusini, Mhe. Nuru Kashakari, ametoa kiasi cha shilingi milioni 2.5 kwa ajili ya kumsaidia mama asiye na makazi ya…